Ukarabati Soko Kuu Majengo wafikia 80%

Ukarabati wa Soko la Majengo umefikia asilimia 80 ya utekelezaji, hatua inayoashiria kuwa mradi huo unakaribia kukamilika na kuanza kutoa huduma zilizokusudiwa kwa wananchi na wafanyabiashara.


Mradi huo wenye thamani ya shilingi bilioni 4.8 unalenga kuboresha mazingira ya soko, kuimarisha miundombinu na kuongeza ufanisi wa shughuli za biashara kwa wafanyabiashara na wananchi.


Ukarabati huo unatarajiwa kuongeza usalama, usafi na mvuto wa soko, sambamba na kutoa mazingira bora zaidi ya biashara na kuchochea shughuli za kiuchumi katika eneo hilo.




Comments

Popular Posts

Timu ya Watumishi Jiji la Dodoma inayoshiriki SHIMISEMITA yatakiwa kurejea na ushindi

Timu ya Watumishi Jiji la Dodoma waagwa kuelekea SHIMISEMITA

Dodoma Jiji yaifunga Mji Ifakara 41-3 Mpira wa Pete Mashindano ya SHIMISEMITA