Posts
Wanafunzi Kizota S/M wapatiwa chanjo dhidi ya Polio
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Na. Jesca Kipingu, KIZOTA Wataalamu wa afya kutoka Kituo cha Afya Kizota wamefika katika Shule ya Msingi Kizota, Kata ya Kizota, Halmashauri ya Jiji la Dodoma, kwa ajili ya kutoa chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri wa kuanzia miezi 0 hadi miaka 10, ikiwa ni sehemu ya kampeni inayoendelea ya kuwakinga watoto dhidi ya ugonjwa huo na madhara yake, ikiwemo ulemavu wa kudumu. Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Katibu wa Afya katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma ambaye pia ni Msimamizi wa Kampeni ya Chanjo ya Polio, Hapiness Kaungya, aliwashukuru wazazi kwa mwitikio mkubwa walioonesha katika kuhakikisha watoto wao wanapatiwa chanjo. Alisisitiza kuwa ushiriki wa wazazi na walezi ni muhimu katika kuhakikisha watoto wanapata kinga dhidi ya ugonjwa wa Polio. Aidha, Kaungya aliitaka jamii kuendelea kupata na kuzingatia taarifa sahihi zinazotolewa na wataalamu wa afya ili kuondokana na dhana potofu kuhusu chanjo. Alisema kuwa ushirikiano wa wazazi, walezi na jamii kwa ujumla ...
Bwawa kujengwa kudhibiti mafuriko Nzuguni, Dodoma
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
DC Dodoma aagiza utambuzi wa kaya maeneo hatarishi
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
DC Shekimweri aagiza kuzingatia usalama maeneo ya uchimbaji madini
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
DC Dodoma aagiza Kampeni Maalumu ya Usafi kukabiliana na El Nino
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Kampeni dhini ya Polio yashika kasi Dodoma
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Watoto chini ya Miaka 10 wakipatiwa Chanjo ya Polio
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
RC Senyamule azindua Kampeni ya Chanjo ya Polio Dodoma
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Wazazi wahimizwa kuwapeleka watoto kupata chanjo ya Polio
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Na. Josephina Kayugwa, DODOMA Serikali imejipanga kuhakikisha watoto wanapatiwa chanjo ya Polio ili kuendelea kuilinda Tanzania dhidi ya ugonjwa huo, licha ya nchi kutokuwa na mgonjwa wa Polio kwa sasa. Hayo aliyasema Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri katika hafla fupi ya ufunguzi wa kampeni ya utoaji chanjo ya Polio iliyofanyika katika Shule ya Msingi Nkuhungu, Halmashauri ya Jiji la Dodoma. Alhaj Shekimweri alisema kuwa hatua hiyo ni sehemu ya jitihada za serikali chini ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuimarisha afya za watoto nchini, akieleza kuwa watoto wamekuwa sehemu muhimu ya programu mbalimbali za afya zinazotekelezwa na serikali. Aliongeza kuwa kama Wilaya ya Dodoma imepewea lengo la kuwafikia watoto 207,096 katika zoezi hilo, ikiwa ni sehemu ya jumla ya watoto 1,003,061 katika Mkoa wa Dodoma wanaolengwa katika maeneo husika. “Viongozi, watendaji wa serikali, shule, kamati na bodi za shule wamehamasishwa kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo, i...