Posts
Polisi yaokoa fedha na kujenga ghorofa la makazi Dodoma
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Kituo Kikuu cha Polisi Dodoma kuunganishwa TEHAMA
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Ujenzi Kituo kipya cha Polisi Dodoma wafikia 61%
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Kata ya Miyuji Yaongeza Kasi ya Usimamizi Wa Usafi wa Mazingira
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Na. Manase Malima, MIYUJI Kata ya Miyuji katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma imechukua hatua za kuimarisha usafi wa mazingira kwa kufanya ukaguzi wa vikundi vinavyohusika na ukusanyaji na uondoshaji wa taka, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa wito wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan wa kuhakikisha miji na majiji yanakuwa safi. Katika kutekeleza wito huo, wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan wa kuhakikisha miji na majiji yanakuwa safi, Kata ya Miyuji katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma imeelekeza nguvu katika kuboresha mfumo wa ukusanyaji na uondoshaji wa taka kupitia vikundi vinavyofanya shughuli hiyo katika mitaa ya kata. Leo tarehe 11 Septemba, 2026 Kamati ya Maendeleo ya Kata ya Miyuji, ikiongozwa na Diwani wa Kata hiyo, Ringo Iringo, imefanya ukaguzi wa vifaa vinavyotumika katika shughuli za usafi, ikiwemo magari, na vifaa kinga kwa watendaji. Ukaguzi huo umehusisha kuangalia hali ya vifaa, mahitaj...
Maadhimisho ya Siku ya Kuzuia Kujitoa Uhai Duniani
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Match Day Dodoma Jiji FC v Namungo
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Polisi yaokoa fedha, yaongeza ujenzi wa jengo la ghorofa tatu mradi wa makazi Dodoma
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Na. Mwandishi wetu, DODOMA Jeshi la Polisi Wilaya ya Dodoma limepongezwa kwa kufanikiwa kuokoa fedha katika utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa majengo ya makazi ya askari wa vyeo vya ‘rank and file’ hatua iliyowezesha kuongeza jengo moja la ghorofa tatu licha ya mradi awali kulenga kujenga majengo manane. Akizungumza wakati wa kukagua maendeleo ya mradi huo eneo la Kutuliza Ghasia Jiji la Dodoma, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri alikipongeza Kikosi Kazi cha Ujenzi cha Jeshi la Polisi kwa kutumia rasilimali zilizopo kwa ufanisi na kuwezesha kuokoa fedha za umma. Alisema kuwa hatua hiyo ni mfano wa namna taasisi za serikali, hususan vyombo vya ulinzi na usalama, zinavyoweza kutanguliza uzalendo na matumizi bora ya fedha za umma katika kutekeleza miradi ya maendeleo. “Kwa hili tunawapongeza kwa dhati. ‘Mme-demonstrate’ kama vyombo vya ulinzi na usalama mkipewa majukumu haya ya nchi, mnatanguliza mbele uzalendo na kuokoa fedha za umma. Hili ni...
Familia 96 kunufaika na mradi wa makazi ya Askari Polisi Dodoma
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Na. Mwandishi wetu, DODOMA Jumla ya familia 96 za askari wa vyeo ‘Rank and File’ eneo la kutuliza ghasia wilayani Dodoma zinatarajiwa kunufaika na mradi wa ujenzi wa majengo manane ya ghorofa tatu, unaolenga kuboresha makazi yao kwa kuwapatia nyumba bora, salama na zenye viwango vya kisasa. Mradi huo umefikia asilimia 73 ya utekelezaji, ambapo kila jengo katika mradi huo limepangwa kuhudumia familia 12, huku majengo matano kati ya manane yakiwa yamekamilika na matatu yakiwa katika hatua mbalimbali za ukamilishaji. Akizungumza wakati wa kutembelea mradi huo, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri alilipongeza Jeshi la Polisi kwa hatua waliyofikia, akibainisha kuwa ujenzi huo ni sehemu muhimu ya maboresho ya mazingira ya makazi ya askari. “Tunawapongeza kwa hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa mradi huu, na tunawapongeza zaidi kwa kuhakikisha kwamba majengo matano yameshakamilika, huku majengo matatu yakiwa katika hatua mbalimbali za ukamilishaji. Kwa hatua hii...
Kituo Kikuu cha Polisi Dodoma kuunganishwa na mifumo ya TEHAMA
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Na. Mwandishi wetu, DODOMA Kituo Kikuu cha Polisi Daraja A kinachojengwa Wilaya ya Dodoma kinatarajiwa kufungwa mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), ikiwamo CCTV na chumba maalumu cha udhibiti (control room), kwa lengo la kuimarisha ufuatiliaji wa usalama na udhibiti wa uhalifu mara baada ya kukamilika kwa ujenzi. Hatua hiyo ilielezwa wakati wa ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho pamoja na majengo manane ya ghorofa tatu ya makazi ya askari wa vyeo vya ‘Rank & File’ katika eneo la kutuliza ghasia, Jiji la Dodoma. Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri, alisisitiza umuhimu wa kuwepo kwa chumba maalumu cha ufuatiliaji na udhibiti wa mfumo huo, chenye mazingira rafiki ya kazi na vifaa vya kisasa. Alisema kuwa matumizi ya CCTV yatasaidia kufuatilia hali ya usalama, kuimarisha usalama barabarani, kudhibiti msongamano wa magari, kupanga doria za kimkakati na kurahisisha upatikanaji wa ushahidi w...