Posts
Showing posts from May 3, 2025
Kata ya Chamwino kuanza ujenzi Mabweni Chinangali Sec
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Ujenzi wa Barabara yenye urefu wa kilomita 1.6 fursa kwa wananchi wa Kata ya Nala
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Na. Leah Mabalwe, NALA Halmashauri ya Jiji la Dodoma ilitenga kiasi cha shilingi 2,431,050,561 kutoka mapato ya ndani kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 kwaajili ya mradi wa ujenzi wa barabara kutoka Hospitali ya Jiji mpaka barabara ya Singida yenye urefu wa kilomita 1.6 kwa kiwango cha lami. Hayo yalibainishwa na Mhandisi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mhandisi Ally Bella alipokuwa akisoma taarifa ya ujenzi wa Barabara hiyo kwa Kamati ya Fedha na Utawala iliyofanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo kwa kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2024/2025. “Ujenzi huu wa barabara unajumuisha daraja kubwa la midomo mitatu pamoja na mingine minne ya duara. Pia utasaidia kwa kiasi kikubwa kwa wananchi ukizingatia katika barabara hii baadhi yao wanatoka sehemu mbalimbali kwaajili kufuata huduma za afya katika Hospitali ya Jiji na hii itarahisisha kutokana na miundombinu mizuri ya barabara na kuzifikia huduma za afya kirahisi” alisema Mhandisi Bella. Pia alitoa shukrani kw...
Ofisi ya Kata Zuzu yaboreshwa kwaajili ya utoaji huduma bora
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Na. Leah Mabalwe, ZUZU Serikali ya awamu ya sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania i me lenga kuboresha mazingira bora ya kufanyia kazi kwa wa tumishi wa serikali ili waweze kutoa huduma bora kwa wananchi . Hayo yalibainishwa na Afisa Mtendaji wa Mtaa wa Zuzu, Shakila Mwanyemba, alipokuwa akiongelea mafanikio ya serikali ya awamu ya sita ndani ya robo ya tatu 2024/2025 wakati wa ziara iliyofanywa na Kamati ya Fedha na Utawala katika Kata ya Zuzu. “Serikali ya awamu ya sita ilitenga kiasi cha shilingi 15,000,000 kwaajili ya ukarabati wa Ofisi ya Kata ya Zuzu, ikiwa ni chachu ya kuboresha mazingira bora kwaajili ya watumishi ili waweze kutoa huduma nzuri kwa wananchi. Pia ofisi hii siyo tu kwaajili ya watumishi pekee, bali hata wananchi wanaweza kuja kupata huduma bora katika ofisi hii kutokana na mazingira ya ofisi kuwa bora, salama na rafiki” alisema Mwanyemba. Nae, Awadhi Abdallah, Diwani wa Kata ya Zuzu alitoa pongezi kwa serikali kwa kuendelea kuboresha utawala bora na kuwas...