Dodoma CC yaichakaza Kibaha DC Vikapu 28-7

Timu ya Mchezo wa Mpira wa Kikapu ya Wanaume ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma iliichakaza Timu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha kwa vikapu 28-7 katika Michezo ya Shirikisho la Michezo ya Serikali za Mitaa Tanzania (SHMISEMITA) inayoendelea jijini Mbeya.




Comments

Popular Posts

Timu ya Watumishi Jiji la Dodoma inayoshiriki SHIMISEMITA yatakiwa kurejea na ushindi

Timu ya Watumishi Jiji la Dodoma waagwa kuelekea SHIMISEMITA

Jiji la Dodoma laaga Timu ya Watumishi kuelekea SHIMISEMITA Mbeya