Dodoma CC yaichakaza Kibaha DC Vikapu 28-7
Timu ya Mchezo wa Mpira wa Kikapu ya Wanaume ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma iliichakaza Timu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha kwa vikapu 28-7 katika Michezo ya Shirikisho la Michezo ya Serikali za Mitaa Tanzania (SHMISEMITA) inayoendelea jijini Mbeya.
Comments
Post a Comment