Posts

Showing posts from November 2, 2024

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma akiwaelezea madiwani kuhusu mafunzo ya kuongeza mapato ya ndani kwa mfumo wa matangazo ya biashara ya kidigitali

Image
  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Frederick Sagamiko akiwaelezea madiwani kuhusu mafunzo ya kuongeza mapato ya ndani kwa mfumo wa matangazo ya biashara ya kidigitali katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri uliopo Mji wa Serikali Mtumba

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma akibadilisha mawazo na aliyekuwa Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

Image
  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Frederick Sagamiko (kushoto) akibadilishana mawazo na Naibu Meya mstaafu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Asma Karama (kulia) katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri uliopo Mji wa Serikali Mtumba kwenye mafunzo kuhusu kuongeza mapato ya ndani kwa mfumo wa matangazo ya biashara ya kidigitali

Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wakiwa katika mafunzo ya kuongeza mapato ya ndani kwa mfumo wa matangazo ya biashara ya kidigitali

Image
  Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wakiwa wanasikiliza mafunzo ya kuongeza mapato ya ndani kwa mfumo wa matangazo ya biashara ya kidigitali katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri uliopo Mji wa Serikali Mtumba