Posts

Showing posts from October 21, 2024

Fursa uwekezaji kilimo cha Zabibu Dodoma

Na. Faraja Mbise, DODOMA Halmashauri ya Jiji la Dodoma ni kivutio kikubwa katika kilimo cha zabibu nchini kutokana na zao hilo la kibiashara kustawi vizuri na kuwanufaisha wananchi. Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Divisheni ya Kilimo mjini Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Yustina Munishi alipokuwa alielezea fursa za kilimo zinazopatikana Halmashauri ya Jiji la Dodoma katika Mkutano wa Baraza la Biashara Wilaya ya Dodoma uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma uliopo Mji wa Serikali Mtumba. Munishi aliwashauri wawekezaji na wakulima kuwekeza katika kilimo. “Zipo fursa nyingi za uwekezaji katika maeneo mengi ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma. Tuna fursa kubwa ya uwekezaji kwenye kilimo cha zao la Zabibu. Zao la Zabibu inalimwa hapa Dodoma kwahiyo, mtu yeyote anaweza akatumia fursa hiyo kwa kuangalia maeneo yale yenye uwezekano mkubwa wa kulima zao hilo, ambayo yapo maeneo ya Hombolo Bwawani, Makulu, Chihanga, Matumbulu, Mpunguzi na Mbabala. Kwahiyo, tunaangalia ule ...

Jiji la Dodoma linafursa lukuki uwekezaji

Image
Na. Faraja Mbise, DODOMA Halmashauri ya Jiji la Dodoma inazo fursa lukuli kwa ajili ya wawekezaji na wafanyabiashara katika maeneo ya kilimo, viwanda, biashara, michezo na maeneo mengine yanayoweza kusisimua ukuaji wa uchumi. Kauli hiyo ilitolewa na Kaimu Mkuu wa Divisheni ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Abdul Chacha alipokuwa akizungumza na wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Biashara Wilaya ya Dodoma uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma uliopo Mji wa Serikali Mtumba. “Halmashauri ya Jiji la Dodoma ina fursa nyingi sana, una fursa ya kuwekeza katika maeneo ya michezo kwa ujumla, kwasababu saizi tunaangalia AFCON inakuja. Kwahiyo, watu wengi watahitaji sehemu ambazo zimeandaliwa kwa ajili ya michezo. Vilevile, nyumba za kupanga na kuuza (apartments). Kipindi hiki wageni wanaingia wengi sana hivyo, wanahitaji sehemu za kufikia kwa maana ya malazi, hizo ni fursa zinazopatina. Lakini biashara mbalimbali za chakula kama kuk...

Jiji la Dodoma linafursa lukuki uwekezaji

  Na. Faraja Mbise, DODOMA Halmashauri ya Jiji la Dodoma inazo fursa lukuli kwa ajili ya wawekezaji na wafanyabiashara katika maeneo ya kilimo, viwanda, biashara, michezo na maeneo mengine yanayoweza kusisimua ukuaji wa uchumi. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Dodoma, Abdul Chacha alipokuwa akizungumza na wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Biashara Wilaya ya Dodoma uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma uliopo Mji wa Serikali Mtumba. “Halmashauri ya Jiji la Dodoma ina fursa nyingi sana, una fursa ya kuwekeza katika maeneo ya michezo kwa ujumla, kwasababu saizi tunaangalia AFCON inakuja. Kwahiyo, watu wengi watahitaji sehemu ambazo zimeandaliwa kwa ajili ya michezo. Vilevile, nyumba za kupanga na kuuza (apartment). Kipindi hiki wageni wanaingia wengi sana hivyo, wanahitaji sehemu za kufikia kwa maana ya malazi, hizo ni fursa zinazopatina. Lakini biashara mbalimbali za chakula kama kuku, nyama, mbogamboga na matunda ni...

Orodha ya Wapiga kura yabandikwa Makole

Image
 

Mtaa wa Nationa Housing na Makole wabandika orodha ya wapiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Image
  Wakazi wa Mtaa wa National housing na Makole, Kata ya Makole wamejitokeza katika ofisi ya Afisa Mtendaji Kata ya Makole ili kuhakiki majina yao kama yametoka katika orodha ya wapiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024

Kata ya Makole yabandika orodha ya wapiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Image
  Ofisi ya Afisa Mtendaji Kata ya Makole imebandika orodha ya majina ya watu waliojiandikisha kwenye orodha ya wapiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba, 2024