Posts
Showing posts from February 17, 2024
Mbunge Mavunde kuwekeza zaidi sektan ya Elimu Dodoma
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Na. Dennis Gondwe Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini, Anthony Mavunde ameahidi kuendelea kuwekeza katika sekta ya elimu ili kuwawezesha wanafunzi wa Dodoma kusoma vizuri na kufikia malengo yao. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri akitoa salamu za Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri alipokuwa akitoa salamu za Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini katika mkutano wa wadau wa elimu Wilaya ya Dodoma uliofanyika katika ukumbi wa Shule ya St. Gasper jijini Dodoma. Alhaj Shekimweri alisema “Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini anasema kuwa nitaendelea kuwekeza zaidi kwenye elimu ili kuwasaidia watoto wa Dodoma kufikia malengo yao. Nitashirikisha wadau mbalimbali wa maendeleo ili kuinua na kuboresha elimu katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma hasa katika miundombinu na mazingira rafiki ya kusomea”. Akiongelea mapinduzi katika teknolojia, alisema kuwa Dodoma inaelekea kupiga mapinduzi makubwa kwenye elimu. “Dunia in...