Posts

Showing posts from July 16, 2023

CLUB YA MAZINGIRA YA SHULE YA SEKONDARI HIJRA KATA YA CHAMWINO ILIVYOSHIRIKI ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA SIKU YA JUMAMOSI

Image
 

MWANASHERIA MKUU ZANZIBAR AWATAKA WAFANYAKAZI KUIGA TABIA NJEMA ZA WASTAAFU

Image
  Na Faki Mjaka-AGC Zanzibar Mwanasheria wa Zanzibar Dkt. Mwinyi Talib Haji amewataka Wafanyakazi kuiga tabia njema za Wafanyakazi wastaafu ikiwemo kutunza siri za Ofisi ili kujiweka salama wao na Ofisi wanazozifanyia kazi. Dkt. Mwinyi aliyasema hayo katika hafla ya kumuaga aliyekuwa Katibu Muhtasi wa Ofisi hiyo ambaye amestaafu Bi Masunya Juma Abdalla huko katika ukumbi wa Ofisi hiyo Mazizini mjini Unguja. Alisema ni jukumu la kila mmoja kuchukua yale mema ambayo wafanyakazi walijifunza kutoka kwake ikiwemo kufanya kazi kwa bidii, nidhamu na ustahamilivu. Dkt. Mwinyi alisema Bi Masunya alitanguliza uzalendo na maslahi makubwa ya nchi kwa kuamini kuwa Taasisi anayofanyia kazi ni muhimu ambayo inahitaji mtu mwenye bidii ya kazi jambo lililomjengea sifa ya kuwahi kazini na kuchelewa kutoka siku zote. Aliwataka wafanyakazi hao kila mmoja kuweka nia na mikakati ya kuhakikisha anaagwa kwa wema kutokana na utumishi wake uliotukuka kama ilivyofanyika kwa Bi Masu. “Kukusanyika hapa tukafur...

RAIS DKT.MWINYI ASHUHUDIA UTIAJI WA SAINI YA MKOPO WA FEDHA KWA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR KUTOKA KWA MABENKI YA NMB NA NBC

Image
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akishuhudia utiaji wa Saini wa Fedha za Mkopo kutoka kwa Benki ya NBC kwa kushirikiana na Benki ya NMB, kwa upande wa Benki ya NBC akisaini Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) Ndg.Theobald Sabi  (kulia kwa Rais) na kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akisaini Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Dkt.Juma Malik Akili (kushoto kwa Rais) hafla hiyo ya utiaji wa saini iliyofanyika leo 14-7-2023 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar. (Picha na Ikulu) BAADHI ya Viongozi wa Serikali na wa Benki ya NMB na NBC wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia wakati wa utiaji wa saini wa Fedha za Mkopo zinazotolewa kwa kushirikiana na benki hizo kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 14-7-2023.(Picha na Ikulu)  

Kauli ya RC Senyamule kuhusu Hati ya Ukaguzi wa Hesabu Jiji la Dodoma

Image
 

Kauli ya DC Shekimweri kuhusu hoja za ukaguzi Jiji la Dodoma

Image
 

Kauli ya Mstahiki Meya Jiji la Dodoma kuhusu Hesabu za Serikali

Image
 

Kauli ya Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kuhusu Hati safi ya ukaguzi wa Hesabu za Serikali

Image
 

RC Senyamule alipongeza Jiji la Dodoma kupata Hati safi ya Hesabu za mwaka 2021/2022

Image
Na. Dennis Gondwe, DODOMA HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imepongezwa kwa kupata Hati safi ya ukaguzi kwa hesabu zilizoishia tarehe 30 Juni, 2022 na kuupa heshima Mkoa wa Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule akitoa maelekezo katika Mkutano maalum wa Baraza la Madiwani Jiji la Dodoma kupitia na kujadili ripoti ya CAG Pongezi hizo zilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule aliposhiriki Mkutano Maalum wa Baraza la Madiwani wa kupitia na kujadili hoja za halmashauri zilizoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma. “Mstahiki Meya naomba nitumie nafasi hii kwa namna ya pekee na kwa idhini yako Mstahiki Meya kuipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kupata Hati safi ya ukaguzi kwa hesabu zinazoishia tarehe 30 Juni, 2022. Hongera sana. Hati hii safi ya ukaguzi inalifanya Jiji la Dodoma kuendelea kupata Hati safi kwa miaka minne mfululizo kuanzia mwaka 2017/2018. Kitendo hiki kime...