Posts

Showing posts from August 8, 2026

Timu ya Kikapu yajinoa kualekea SHIMISEMITA Mbeya, 2026

Image
  TIMU ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma ya Mchezo Kikapu itakayoshiriki mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Serikali za Mitaa Tanzania (SHIMISEMITA) inaendelea na mazoezi ya utimamu wa mwili katika uwanja wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) jijini Dodoma.  

Prof. Nagu awataka wananchi kuzingatia Lishe bora kukuza Uchumi

Image
Na. Mwandishi wetu, DODOMA   WANANCHI wametakiwa kuzingatia ulaji bora wa chakula kwa ajili ya kuboresha na kulinda afya kwa kutumia mazao yanayozalishwa katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma ili wawe na lishe bora itakayowasaidia kutekeleza majukumu ya kujenga taifa. Kauli hiyo ilitolewa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia masuala ya Afya, Prof. Tumaini Nagu alipotembelea banda la Halmashauri ya Jiji la Dodoma katika maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini Dodoma. Prof. Nagu aliwasisitiza wananchi kuzingatia ulaji wa chakula bora kwa ajili ya afya bora, akisema kuwa mazao yanayozalishwa katika Jiji la Dodoma ni bora na yanamchango mkubwa katika kuboresha lishe. “Niwapongeze Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kazi nzuri mnayoifanya. Pia niwasisitize wananchi hasa vijana kula chakula bora kama tulivyojionea hapa. Mazao yanayozalishwa ni mazao bora kabisa kwa afya. Hivyo, vijana kama kizazi cha baadae wajitahidi kula ...

Baraza Maalumu la Madiwani Jiji la Dodoma Mrejesho wa Bajeti 2026/2027

Image
 

Taarifa kwa Umma Maingizo ya Shilingi 4,4390,481,496 kutekeleza Miradi ya Maendeleo Dodoma

Image