Posts

Showing posts from July 8, 2026

Meya Chaula atembelea banda la Jiji la Dar es Salaam Maonesho ya Sabasaba

Image
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Alimwoni Chaula, ametembelea banda la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba na kupata maelezo mafupi kuhusu shughuli zinazotekelezwa na halmashauri hiyo.

Wakili Kipangula asisitiza weledi taaluma ya habari

Image
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula ametembelea banda la Halmashauri ya Jiji la Dodoma katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba, 2026 yanayoendelea jijini Dar es Salaam na kusaini kitabu cha wageni mara baada ya kupata maelezo kuhusu huduma zinazotolewa na halmashauri hiyo pamoja na fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo jijini Dodoma. Akiwa katika banda hilo aliwataka maafisa habari wa serikali kusimamia misingi ya uandishi wa habari kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma hiyo.