Posts
Showing posts from April 24, 2024
Matukio katika picha zoezi la usafi wa Mazingira Kituo cha Afya Makole kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano lililofanywa na Divisheni ya Elimu Sekondari Jiji la Dodoma
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Elimu Sekondari yafanya usafi Kituo cha Afya Makole
- Get link
- X
- Other Apps
By Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Jiji la Dodoma
Na. Dennis Gondwe, DODOMA DIVISHENI ya Elimu Sekondari Halmashauri ya Jiji la Dodoma imeadhimisha maadhimisho ya kuelekea kilele cha miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kufanya usafi katika Kituo cha Afya Makole kwa lengo la kuwawekea mazingira safi na salama wagonjwa wanaopata huduma kituoni hapo. Mkuu wa Divisheni ya Elimu Sekondari Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mwl. Zainabu Abdallah akiongea na mamia ya walimu, wanafunzi na Jumuiya ya Kituo cha Afya Makole Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Divisheni ya Elimu Sekondari Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mwl. Zainabu Abdallah alipokuwa akiongea na mamia ya walimu, wanafunzi na jumuiya ya wafanyakazi wa Kituo cha Afya Makole kufanya usafi katika kituo hicho. Mwl. Abdallah alisema “sisi Divisheni ya Elimu Sekondari katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma tumeamua kuadhimisha maadhimisho ya kuelekea miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kufanya usafi katika Kituo cha Afya Makole. Kama mnavyofahamu Makole ni kituo cha ...