Posts

Showing posts from November 23, 2024

Matukio katika Picha Semina ya Wasimamizi wa Vituo vya kupigia kura katika Ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la DOdoma uliopo Mji wa Serikali Mtumba

Image
Mhe. TheresianKiwango, Hakimu Mkazi  

Matukio katika Picha Dodoma Jiji Mtaa kwa Mtaa Uchaguzi Festival katika eneo la Swaswa Mnarani

Image
 

Wananchi washauriwa kusikiliza elimu na hamasa ya Dodoma Jiji Mtaa kwa Mtaa Uchaguzi Festival

Image
Na. Asteria Frank, DODOMA Wananchi wameshauriwa kujitokeza kwa wingi kusikiliza elimu inayotolewa na wahamasishaji kutoka Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa njia mbalimbali ikiwemo kikundi maalum cha ngoma cha Dodoma Jiji Mtaa kwa Mtaa Uchaguzi Festival. Afisa Utamaduni wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Desdery Kuzenza akihamasisha mamia ya wananchi wa Swaswa Mnarani Hayo, yalisemwa na Afisa Utamaduni wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Desdery Kuzenza alipokuwa akihamasisha wananchi kujitokeza kutumia haki yao ya msingi na ya kikatiba ya kupiga kura na kuwachagua viongozi watakaowafaa kwa manufaa ya maendeleo ya mitaa yao. “Naomba nitoe rai kwa wakazi wa Dodoma na   maeneo mbalimbali waendelee kushiriki   katika ‘ program’ mbalimbali za elimu kwa umma ambazo zinalenga kuwaelimisha kuhusiana na umuhimu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na nafasi za uongozi wa serikali za mitaa katika maisha yao ya kila siku na tunasema kwamba serikali za mitaa kwa sauti ya wananchi. Hivyo, wa...