Tunduma yalala Seti 2-0 kwa Dodoma CC

 

Halmashauri ya Dodoma la Jiji iliendeleza kasi kwenye mchezo wa Mpira wa Wavu kwa Wanaume, ikiichapa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduma kwa seti 2-0. Seti ya kwanza ilimalizika kwa 25-1, kabla ya Dodoma Jiji kushinda seti ya pili kwa 25-7 katika Michezo ya Shirikisho la Michezo ya Serikali za Mitaa Tanzania (SHMISEMITA) inayoendelea jijini Mbeya.



Comments

Popular Posts

Timu ya Watumishi Jiji la Dodoma inayoshiriki SHIMISEMITA yatakiwa kurejea na ushindi

Timu ya Watumishi Jiji la Dodoma waagwa kuelekea SHIMISEMITA

Jiji la Dodoma laaga Timu ya Watumishi kuelekea SHIMISEMITA Mbeya