Tunduma yalala Seti 2-0 kwa Dodoma CC
Halmashauri ya Dodoma la Jiji iliendeleza kasi kwenye
mchezo wa Mpira wa Wavu kwa Wanaume, ikiichapa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduma
kwa seti 2-0. Seti ya kwanza ilimalizika kwa 25-1, kabla ya Dodoma Jiji
kushinda seti ya pili kwa 25-7 katika Michezo ya Shirikisho la Michezo ya
Serikali za Mitaa Tanzania (SHMISEMITA) inayoendelea jijini Mbeya.
Comments
Post a Comment