Posts

Showing posts from December 9, 2024

Miaka 63 ya Uhuru, watanzania waaswa kutunza na kuthamini Uhuru

Image
Na. Faraja Mbise, DODOMA Watanzania wameaswa kutunza na kuthamini uhuru kwa kufanya mambo yanayoleta amani na usalama wa nchi, ili kufurahia matunda ya uhuru yaliyopatikana ndani ya miaka 63 tangu tarehe 09 Desemba, 1961. Hayo, yalisemwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, alipokuwa akizungumza na mamia ya wananchi waliohudhuria katika kilele cha Maadhimisho ya M iaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara yaliyofanyika katika makutano ya Barabara ya Mzunguko (Ring Road) katika Kata ya Makutupora, jijini Dodoma. Senyamule alisema “ i li uhuru huu tuendelee kuufurahia na kuuenzi, kwanza tuhimize amani na usalama wa nchi yetu kwasababu ni msingi wa mafanikio. Huu uhuru tunausherekea kwasababu bado tunaulinda, usije ukafikiri ukipata uhuru ndio imeisha, unaweza ukapata uhuru na baadae ukapotea tena kwasababu unaweza ukaingiliwa. Tuendelee kutunza kwa kufanya mambo ya amani na utulivu” Akizungumzia mafanikio yaliyopatikana katika Mi aka 63 ya Uhuru, aligusia mafanikio mbalimbali k...

Miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara, RC Senyamule ahimiza wananchi kupanda miti

Image
Na. Coletha Charles, DODOMA Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule ametoa wito kwa wananchi wa mkoa huo kuimarisha juhudi za kutunza mazingira kwa kupanda miti ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi na kuimarisha mazingira. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule Senyamule alizungumza hayo leo tarehe 9 Desemba, 2024 kwenye makutano ya barabara ya mzunguko (ring road) Makutupora katika kuazimisha miaka 63 ya uhuru wa Tanzania Bara, wenye kaulimbiu ya Uongozi Madhubuti na Ushirikishwaji kwa wananchi, ni msingi wa maendeleo yetu. Alisema kuwa kila mwananchi anawajibu wa kuchangia katika juhudi za uhifadhi wa mazingira kwa kuhakikisha wanapanda miti katika maeneo yao kulingana na uhitaji wa kuwa na Dodoma ya kijani kila mahali. “Leo tumeanza kupanda miti katika barabara ya mzunguko. Kazi hii ni nzuri na uzuri wake ili ukamilike, tukija mwaka kesho tunaanza kuvuna maembe maana nasikia miti ya sasahivi haichelewi kubeba na hapo tutakuwa tumeona vizuri sura halisi ya mradi wa...

Miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania, Burudani zaidi

Image
 

RC Senyamule ahutubia Miaka 63 ya Uhuru, Dodoma

Image
 

Jiji la Dodoma latoa Salamu za Heri Miaka 63 ya Uhuru

Image
 

Mamia ya wakazi wa Dodoma miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Image
 

Miaka 63 ya Uhuru Viongozi Dodoma mstari wa mbele kupanda Miti

Image
 

Mauya aibukia 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Image
  Mkuu wa Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini, Christian Mauya akishiriki zoezi la kupanda miti katika Maadhimisho ya Miaka 63 ya Uhuru wa Tazania Bara, kata ya Makutupora leo tarehe 9 Desemba, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma akipanda Mti miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Image
Alhja Jabir Shekimweri akipanda Mti katika Maadhimisho ya Miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara eneo la karibu na Barabara ya Mzunguko Kata ya Makutupora