Posts

Showing posts from August 29, 2026

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akishuhudia Mhe. George Mcheche Masaju, Jaji Mkuu wa Tanzania akimuapisha, Mhe. Deogratius John Ndejembi kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino, Mkoani Dodoma, tarehe 29 Agosti, 2026.

Image
  Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akishuhudia Mhe. George Mcheche Masaju, Jaji Mkuu wa Tanzania akimuapisha, Mhe. Deogratius John Ndejembi kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino, Mkoani Dodoma, tarehe 29 Agosti, 2026.

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akizungumza na viongozi mbalimbali kwenye hafla ya uapisho wa Mhe. Deogratius John Ndejembi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu ya Chamwino, Mkoani Dodoma tarehe 29 Agosti, 2026.

Image
  Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akizungumza na viongozi mbalimbali kwenye hafla ya uapisho wa Mhe. Deogratius John Ndejembi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu ya Chamwino, Mkoani Dodoma tarehe 29 Agosti, 2026.

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kwenye picha na Mhe. Deogratius John Ndejembi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya hafla ya uapisho iliyofanyika Ikulu ya Chamwino, Mkoani Dodoma tarehe 29 Agosti, 2026.

Image
  Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kwenye picha na Mhe. Deogratius John Ndejembi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya hafla ya uapisho iliyofanyika Ikulu ya Chamwino, Mkoani Dodoma tarehe 29 Agosti, 2026.

Dodoma CC yaangukia msindi wa pili Mpira wa Wavu Wanaume SHIMISEMITA

Image
Na. Leah Mabalwe, MBEYA   TIMU ya Mpira wa Wavu ya Wanaume kutoka Halmashauri ya Jiji la Dodoma imeibuka mshindi wa pili katika mashindano ya Fainali za SHIMISEMITA, baada ya kukubali kichapo cha Seti 3-0 kutoka kwa Manispaa ya Iringa katika mchezo wa fainali uliochezwa kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari Samora.   Mchezo huo wa fainali ulikuwa wa ushindani mkubwa, huku timu zote zikionesha kiwango kizuri cha mchezo na kupambana kutwaa ubingwa wa mashindano hayo. Kocha wa Timu ya Mpira wa Wavu ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Wanjala Matinya alisema kuwa timu yake ilijiandaa vizuri hadi kufikia hatua ya fainali, lakini pia wapinzani wao walikuwa wamejiandaa ipasavyo na kuweza kupata ushindi.   “Tumejiandaa vizuri hadi kufikia hatua ya fainali. Lakini wapinzani wetu nao walikuwa wamejiandaa vizuri, ndiyo maana wameweza kupata ushindi” alisema Matinya. Kwa upande wake, mchezaji wa Timu ya Mpira wa Wavu, Galucy Kyando alisema kuwa mchezo huo ulikuwa wa ushindani...

Baraza la Madiwani Jiji la Dodoma lampongeza Ndejembi kuteuliwa Makamu wa Rais

Image
Na. Coletha Charles, DODOMA   Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dodoma limempongeza Waziri wa Nishati na Mbunge wa Jimbo la Chamwino, Deogratius Ndejembi kwa kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) tarehe 26 Agosti 2026.   Pongezi hizo zilitolewa na Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Bakari Fundikira wakati akiongoza Baraza maalum la Madiwani kwa ajili ya kupokea taarifa ya ufungaji wa hesabu za Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa mwaka ulioishia tarehe 30 Juni, 2026 katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo.   Fundikira alisema kuwa Baraza zima la Madiwani linampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini na kumteua Deogratius Ndejembi kushika nafasi hiyo ya Makamu wa Rais, huku akimtakiwa heri katika utekelezaji wa majukumu yake mapya.   “Lakini pia tutumie nafasi hii kumpongeza Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa u...