Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akishuhudia Mhe. George Mcheche Masaju, Jaji Mkuu wa Tanzania akimuapisha, Mhe. Deogratius John Ndejembi kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino, Mkoani Dodoma, tarehe 29 Agosti, 2026.
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akishuhudia Mhe. George Mcheche Masaju, Jaji Mkuu wa Tanzania akimuapisha, Mhe. Deogratius John Ndejembi kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino, Mkoani Dodoma, tarehe 29 Agosti, 2026.