Dodoma CC yalazimishwa sare Mpira wa Mikopo SHIMISEMITA
Timu ya Mpira wa Mikono ya Wanaume ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma ililazimishwa sare ya 5-5 dhidi ya Halmashauri ya Wilaya ya Magu katika Michezo ya Shirikisho la Michezo ya Serikali za Mitaa Tanzania (SHMISEMITA) inayoendelea jijini Mbeya.
Comments
Post a Comment