Dodoma CC yalazimishwa sare Mpira wa Mikopo SHIMISEMITA

Timu ya Mpira wa Mikono ya Wanaume ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma ililazimishwa sare ya 5-5 dhidi ya Halmashauri ya Wilaya ya Magu katika Michezo ya Shirikisho la Michezo ya Serikali za Mitaa Tanzania (SHMISEMITA) inayoendelea jijini Mbeya.

 



Comments

Popular Posts

Timu ya Watumishi Jiji la Dodoma inayoshiriki SHIMISEMITA yatakiwa kurejea na ushindi

Timu ya Watumishi Jiji la Dodoma waagwa kuelekea SHIMISEMITA

Jiji la Dodoma laaga Timu ya Watumishi kuelekea SHIMISEMITA Mbeya