Timu ya Watumishi Jiji la Dodoma waagwa kuelekea SHIMISEMITA

 

Timu ya Watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, inayokwenda kushiriki SHIMISEMITA, 2026 jijini Mbeya  imeagwa rasmi na Uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma katika ukumbi wa halmashauri.



Katika hafla hiyo, uongozi umeihimiza timu hiyo kwenda kushiriki kwa nidhamu, umoja, ari na ushindani wa hali ya juu, ili kuiwakilisha vema Halmashauri na Jiji la Dodoma na kurudi na ushindi wa kishindo.

Comments

Popular Posts

Dodoma Jiji yajiandaa Ngoma na Kwaya SHIMISEMITA, 2026

Barabara za Mtaa wa Mbwanga yafunguliwa, Diwani Kerenge aitaja kuwa chachu ya maendeleo