Timu ya Watumishi Jiji la Dodoma waagwa kuelekea SHIMISEMITA
Timu ya Watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma,
inayokwenda kushiriki SHIMISEMITA, 2026 jijini Mbeya imeagwa rasmi na Uongozi wa Halmashauri ya
Jiji la Dodoma katika ukumbi wa halmashauri.
Katika hafla hiyo, uongozi umeihimiza timu hiyo kwenda kushiriki kwa nidhamu, umoja, ari na ushindani wa hali ya juu, ili kuiwakilisha vema Halmashauri na Jiji la Dodoma na kurudi na ushindi wa kishindo.
Comments
Post a Comment