Ziara ya DC kukagua ujenzi wa Barabara Dodoma
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Alhaj Jabir Shekimweri,
ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara tatu zinazotekelezwa na
Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) katika Halmashauri ya Jiji la
Dodoma.
• Barabara Nzuguni – kwa Masista (KM 0.5) kwa kiwango cha lami, pamoja na Barabara ya Nzuguni – Makaburini (KM1.5) kwa kiwango cha changarawe, ikiwa na gharama ya shilingi milioni 694.1 fedha kutoka Road Fund Development.
• Mradi wa uboreshaji
wa Barabara ya Mwangaza (KM1.1) kwa kiwango cha lami, kwa gharama ya shilingi Bilioni
1.6.
• Mradi wa
uboreshaji wa Barabara ya Mwangaza – Mwambosa (KM 0.7) kwa kiwango cha lami, gharama
ya mradi ni shilingi milioni 880.1.
Comments
Post a Comment