Timu ya Mpira wa Mikono ya Dodoma Jiji yatinga Robo Fainali SHIMISEMITA

Timu ya Mpira wa Mikono ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali katika mashindano ya SHIMISEMITA baada ya kushika nafasi na kwanza katika hatua ya makundi ya mashindano hayo.










Comments

Popular Posts

Vijana watakiwa kujiendeleza nje ya mfumo rasmi

NGOs zatakiwa kuzingatia uwazi na uwajibikaji Dodoma