Timu ya Mpira wa Mikono ya Dodoma Jiji yatinga Robo Fainali SHIMISEMITA
Timu ya Mpira wa Mikono ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali katika mashindano ya SHIMISEMITA baada ya kushika nafasi na kwanza katika hatua ya makundi ya mashindano hayo.
Comments
Post a Comment