Timu ya Menejimenti ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma imefanya ziara katika Kanda Namba Moja kukagua miradi ya maendeleo. Mradi uliotembelewa ni Shule ya Msingi Kaloleni wenye thamani ya shilingi 151,000,000 ambapo mradi huo upo katika utekelezaji

 



Timu ya Menejimenti ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma imefanya ziara katika Kanda Namba Moja kukagua miradi ya maendeleo. Mradi uliotembelewa ni Shule ya Msingi Kaloleni wenye thamani ya shilingi 151,000,000 ambapo mradi huo upo katika utekelezaji

Comments

Popular Posts

Agenda ya Lishe yaongeza Ari ya usomaji S/M Dodoma Makulu

Miaka minne ya Dkt. Samia, Kizota yanufaika mikopo ya asilimia 10

Halmashauri ya Jiji la Dodoma Kuhudumia Majimbo Mawili ya Uchaguzi