Dodoma Jiji yajiandaa Ngoma na Kwaya SHIMISEMITA, 2026
Watumishi
wa Timu ya Halmasahuri ya Jiji la Dodoma inayoshiriki Mashindano ya SHIMISEMITA
2026 jijini Mbeya wanaendelea na kujifua katika mazoezi makali kwa ajili ya
mashindano ya ngoma na kwaya, mazoezi yanayoendelea katika viwanja vya Shule ya
Sekondari Dodoma.
Mashindano
ya SHIMISEMITA ya Mwaka 2026 yanaongozwa na kaulimbiu isemayo “Tupo Tayari kwa
AFCON 2027”.
Comments
Post a Comment