Timu ya Menejimenti ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma imefanya ziara katika kanda Namba Tatu ya kukagua miradi ya maendeleo.
Timu ya Menejimenti ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma imefanya ziara katika kanda Namba Tatu ya kukagua miradi ya maendeleo.
Mradi mwingine uliotembelewa ni pamoja na Jengo la Wodi ya Wanawake lenye thamani ya shilingi 252,426,200 na ujenzi wa jengo la kufulia lenye thamani ya shilingi 209,684,670.
Comments
Post a Comment