Jiji la Dodoma laendesha zoezi la Upimaji Afya na Lishe Tehillah Daycare Centre

 





Mtaalamu wa Lishe kutoka Kituo cha Afya Makole, Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Frida Mollel ametembelea kituo cha kulelea watoto chini ya miaka mitano cha Tehillah Daycare Centre na kufanya vipimo vya hali ya Afya na Lishe kwa watoto hao ili kubaini maendeleo ya lishe na kutoa ushauri stahiki kwa walezi.

Comments

Popular Posts

Prof. Mohamed ahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii na kuwapongeza wazazi

Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ni nyenzo ya utendaji kazi serikalini – Dkt. Biteko

Mamia wajitokeza kuulaki Mwenge wa Uhuru 2026 Kata ya Kikuyu Kusini