Jiji la Dodoma laendesha zoezi la Upimaji Afya na Lishe Tehillah Daycare Centre
Mtaalamu wa Lishe kutoka Kituo cha Afya Makole, Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Frida Mollel ametembelea kituo cha kulelea watoto chini ya miaka mitano cha Tehillah Daycare Centre na kufanya vipimo vya hali ya Afya na Lishe kwa watoto hao ili kubaini maendeleo ya lishe na kutoa ushauri stahiki kwa walezi.
Comments
Post a Comment