Matukio katika Picha DC Shekimweri akikagua mabanda ya maonesho katika Siku ya Wadau wa Elimu Jiji la Dodoma






Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri akitembelea mabanda ya maonesho kabla ya kuingia ukumbini kwa ajili ya Kikao cha Wadau wa Elimu Jiji la Dodoma na uzinduzi wa Mfuko wa Lishe shuleni uliofanyika katika ukumbi wa Vijana jijini Dodoma






 

Comments

Popular Posts

Mbunge Mavunde akabidhi Kompyuta kwa Kata 41 za Jiji la Dodoma

Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Majengo Dodoma watarajia makubwa Mradi wa TACTIC

Mkataba ujenzi Uwanja wa Mpira wa Miguu wasainiwa Dodoma