Mahitaji Maalumu Hombolo Bwawani wakumbukwa
Walimu wa
Halmashauri ya Jiji la Dodoma wametembelea Kitengo cha Watoto Wenye Mahitaji
Maalum katika Shule ya Msingi Hombolo Bwawani na kutoa msaada wa mahitaji
mbalimbali kwa watoto hao.
Ziara hiyo imelenga kuonesha upendo, kujali na kuimarisha ushirikiano katika kuwasaidia watoto wenye mahitaji maalum kupata mazingira bora ya kujifunzia na kukua.
Comments
Post a Comment