Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma akiwaelezea madiwani kuhusu mafunzo ya kuongeza mapato ya ndani kwa mfumo wa matangazo ya biashara ya kidigitali

 

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Frederick Sagamiko akiwaelezea madiwani kuhusu mafunzo ya kuongeza mapato ya ndani kwa mfumo wa matangazo ya biashara ya kidigitali katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri uliopo Mji wa Serikali Mtumba



Comments

Popular Posts

Wananchi Makutupora wafunguka changamoto ya Maji, Umeme na Shule kwa Mkuu wa Mkoa

Waziri Mchengerwa apongeza usimamizi wa miradi jijini Dodoma

Mkataba ujenzi Uwanja wa Mpira wa Miguu wasainiwa Dodoma