Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma akiwaelezea madiwani kuhusu mafunzo ya kuongeza mapato ya ndani kwa mfumo wa matangazo ya biashara ya kidigitali
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Frederick Sagamiko akiwaelezea madiwani kuhusu mafunzo ya kuongeza mapato ya ndani kwa mfumo wa matangazo ya biashara ya kidigitali katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri uliopo Mji wa Serikali Mtumba
Comments
Post a Comment