Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma akibadilisha mawazo na aliyekuwa Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

 

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Frederick Sagamiko (kushoto) akibadilishana mawazo na Naibu Meya mstaafu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Asma Karama (kulia) katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri uliopo Mji wa Serikali Mtumba kwenye mafunzo kuhusu kuongeza mapato ya ndani kwa mfumo wa matangazo ya biashara ya kidigitali

Comments

Popular Posts

Agenda ya Lishe yaongeza Ari ya usomaji S/M Dodoma Makulu

Miaka minne ya Dkt. Samia, Kizota yanufaika mikopo ya asilimia 10

Halmashauri ya Jiji la Dodoma Kuhudumia Majimbo Mawili ya Uchaguzi