Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma akibadilisha mawazo na aliyekuwa Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

 

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Frederick Sagamiko (kushoto) akibadilishana mawazo na Naibu Meya mstaafu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Asma Karama (kulia) katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri uliopo Mji wa Serikali Mtumba kwenye mafunzo kuhusu kuongeza mapato ya ndani kwa mfumo wa matangazo ya biashara ya kidigitali

Comments

Popular Posts

Diwani Gombo kuongoza Kamati ya Mipango Miji na Mazingira

Kamati ya Kudumu Uchumi, Elimu na Afya yapata Jembe!

Kamati za kudumu zatakiwa kuchangia kasi utekelezaji miradi ya maendeleo