Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma akibadilisha mawazo na aliyekuwa Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Frederick Sagamiko (kushoto) akibadilishana mawazo na Naibu Meya mstaafu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Asma Karama (kulia) katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri uliopo Mji wa Serikali Mtumba kwenye mafunzo kuhusu kuongeza mapato ya ndani kwa mfumo wa matangazo ya biashara ya kidigitali
Comments
Post a Comment