Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma akibadilisha mawazo na aliyekuwa Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

 

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Frederick Sagamiko (kushoto) akibadilishana mawazo na Naibu Meya mstaafu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Asma Karama (kulia) katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri uliopo Mji wa Serikali Mtumba kwenye mafunzo kuhusu kuongeza mapato ya ndani kwa mfumo wa matangazo ya biashara ya kidigitali

Comments

Popular Posts

Wananchi Makutupora wafunguka changamoto ya Maji, Umeme na Shule kwa Mkuu wa Mkoa

Waziri Mchengerwa apongeza usimamizi wa miradi jijini Dodoma

Mkataba ujenzi Uwanja wa Mpira wa Miguu wasainiwa Dodoma