Picha ya Pamoja ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan na Baraza la Mawaziri

 




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko, Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka kwenye picha ya pamoja  na Mawaziri  mara baada ya Kikao cha mwisho cha Baraza la Mawaziri cha Serikali ya Awamu ya Sita kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 14 Julai, 2025

Comments

Popular Posts

CCM yaridhishwa na miradi Jiji la Dodoma

Dodoma Sec kuongeza ufaulu kula mwaka

RC Dodoma atamani Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ufanikiwe kwa 100%