Rais, Dkt. Samia aongoza kikao cha mwisho cha Baraza la Mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 14 Julai, 2025. Kikao hicho cha Baraza la Mawaziri ni cha mwisho cha Serikali ya Awamu ya Sita kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba 2025. 




















Comments

Popular Posts

Shilingi Bilioni 7 zatekeleza miradi ya maendeleo Kata ya Miyuji

Dkt. Mpango ahimiza elimu kwa jamii juu ya utunzaji wa Mazingira