Waziri Kikwete kufungua Wiki ya Kitaifa ya Utumishi wa Umma 2026

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete Jumatano tarehe 17/06/2026 anatarajiwa kufungua Maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026 kwenye Viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma.



Kaulimbiu ya Mwaka 2026 ni “Kuchochea Uwajibikaji Jumuishi kwa Maendeleo Endelevu

Comments

Popular Posts

Bodaboda Mtaa wa Kigamboni wanufaika na Kliniki ya kutatua kero

Ujenzi wa madarasa 3 S/M Mazengo kukamilika Julai, 2026