Waziri Kikwete kufungua Wiki ya Kitaifa ya Utumishi wa Umma 2026
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete Jumatano tarehe 17/06/2026 anatarajiwa kufungua Maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026 kwenye Viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma.
Kaulimbiu ya Mwaka 2026 ni “Kuchochea Uwajibikaji Jumuishi kwa Maendeleo Endelevu”
Comments
Post a Comment