Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Vincent Odero (katikati) akitoa maelekezo kwa Mchumi, Francis Kaunda (kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Usafi na uthibiti taka ngumu, Dickson Kimaro (kulia) katika zoezi la usafi wa mazingira kuelekea maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani zoezi lililofanyika katika Soko la wazi la Machinga

 









Comments

Popular Posts

Baraza la Madiwani Jiji la Dodoma lawafukuza kazi watumishi watatu na mmoja kushushwa cheo

Odero: Mwenge wa Uhuru alama ya Umoja Wilayani Dodoma