Kikao cha wazazi Shule ya Sekondari Mtumba katika uhamasishaji wa upatikanaji chakula shuleni


Afisa Lishe wa Jiji la Dodoma, Frida Mollel alitoa wito kwa wazazi ya juu ya faida ya chakula shuleni na jinsi kinavyoweza kusaidia kuongeza ufaulu na kupunguza ukatili wa kijinsia kwa watoto huku akisema kuwa shule zinazotoa chakula watoto hufanya vizuri kwenye masomo na ufaulu wao upo juu.

 





Comments

Popular Posts

Prof. Mohamed ahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii na kuwapongeza wazazi

Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ni nyenzo ya utendaji kazi serikalini – Dkt. Biteko

Mamia wajitokeza kuulaki Mwenge wa Uhuru 2026 Kata ya Kikuyu Kusini