Kikao cha wazazi Shule ya Sekondari Mtumba katika uhamasishaji wa upatikanaji chakula shuleni


Afisa Lishe wa Jiji la Dodoma, Frida Mollel alitoa wito kwa wazazi ya juu ya faida ya chakula shuleni na jinsi kinavyoweza kusaidia kuongeza ufaulu na kupunguza ukatili wa kijinsia kwa watoto huku akisema kuwa shule zinazotoa chakula watoto hufanya vizuri kwenye masomo na ufaulu wao upo juu.

 





Comments

Popular Posts

SERIKALI YAPONGEZWA KUTOA FEDHA UJENZI WA DODOMA ENGLISH MEDIUM

Mkataba ujenzi Uwanja wa Mpira wa Miguu wasainiwa Dodoma

Nanenane ni muhimu kujifunza Kilimo na Ufugaji bora