Kikao cha wazazi Shule ya Sekondari Mtumba katika uhamasishaji wa upatikanaji chakula shuleni


Afisa Lishe wa Jiji la Dodoma, Frida Mollel alitoa wito kwa wazazi ya juu ya faida ya chakula shuleni na jinsi kinavyoweza kusaidia kuongeza ufaulu na kupunguza ukatili wa kijinsia kwa watoto huku akisema kuwa shule zinazotoa chakula watoto hufanya vizuri kwenye masomo na ufaulu wao upo juu.

 





Comments

Popular Posts

Watumishi wa Kanda Namba Tatu watembelea Zahanati ya Soweto

Gari la Darasa Tembezi latoa elimu Mitaa ya Jiji la Dodoma