Watumishi wa Kanda Namba Tatu watembelea Zahanati ya Soweto

 

Watumishi wa Kanda Namba Tatu watembelea Zahanati ya Soweto jijini Dodoma ambayo imekamilika na imeanza kufanya kazi. Zahanati hiyo inajumuisha jengo la huduma ya wagonjwa wa nje (OPD), chumba cha daktari, chumba cha kujifungulia wanawake, maabara na huduma ya mama, baba na mtoto.

Uwepo wa zahanati hiyo ni kusogeza huduma karibu na wananchi ambao walikuwa wanatembea umbali mrefu kufuata huduma za afya katika Kituo cha Afya Zuzu au kwenda Hospitali ya Mkoa General

 




Comments

Popular Posts

SERIKALI YAPONGEZWA KUTOA FEDHA UJENZI WA DODOMA ENGLISH MEDIUM

Mkataba ujenzi Uwanja wa Mpira wa Miguu wasainiwa Dodoma

Nanenane ni muhimu kujifunza Kilimo na Ufugaji bora