Meya Chaula atembelea banda la Jiji la Dar es Salaam Maonesho ya Sabasaba

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Alimwoni Chaula, ametembelea banda la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba na kupata maelezo mafupi kuhusu shughuli zinazotekelezwa na halmashauri hiyo.






Comments

Popular Posts

Afisa Biashara Arusha apongeza ukuwaji wa Biashara wa Jiji la Dodoma

Jiji la Dodoma lashauriwa kulinda hadhi ya Makao Makuu ya Nchi

WENZA WA VIONGOZI WASHAURIWA KUANZISHA BUSTANI ZA NYUMBANI