Meya Chaula atembelea banda la Jiji la Dar es Salaam Maonesho ya Sabasaba
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Alimwoni Chaula, ametembelea banda la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba na kupata maelezo mafupi kuhusu shughuli zinazotekelezwa na halmashauri hiyo.
Comments
Post a Comment