Mtaa wa Nationa Housing na Makole wabandika orodha ya wapiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

 






Wakazi wa Mtaa wa National housing na Makole, Kata ya Makole wamejitokeza katika ofisi ya Afisa Mtendaji Kata ya Makole ili kuhakiki majina yao kama yametoka katika orodha ya wapiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024


Comments

Popular Posts

Wananchi Makutupora wafunguka changamoto ya Maji, Umeme na Shule kwa Mkuu wa Mkoa

Waziri Mchengerwa apongeza usimamizi wa miradi jijini Dodoma

Mkataba ujenzi Uwanja wa Mpira wa Miguu wasainiwa Dodoma