Mtaa wa Nationa Housing na Makole wabandika orodha ya wapiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

 






Wakazi wa Mtaa wa National housing na Makole, Kata ya Makole wamejitokeza katika ofisi ya Afisa Mtendaji Kata ya Makole ili kuhakiki majina yao kama yametoka katika orodha ya wapiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024


Comments

Popular Posts

Agenda ya Lishe yaongeza Ari ya usomaji S/M Dodoma Makulu

Miaka minne ya Dkt. Samia, Kizota yanufaika mikopo ya asilimia 10

Halmashauri ya Jiji la Dodoma Kuhudumia Majimbo Mawili ya Uchaguzi