Kata ya Makole yabandika orodha ya wapiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

 






Ofisi ya Afisa Mtendaji Kata ya Makole imebandika orodha ya majina ya watu waliojiandikisha kwenye orodha ya wapiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba, 2024


Comments

Popular Posts

Watumishi wa Kanda Namba Tatu watembelea Zahanati ya Soweto

Gari la Darasa Tembezi latoa elimu Mitaa ya Jiji la Dodoma