Kata ya Makole yabandika orodha ya wapiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

 






Ofisi ya Afisa Mtendaji Kata ya Makole imebandika orodha ya majina ya watu waliojiandikisha kwenye orodha ya wapiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba, 2024


Comments

Popular Posts

Jiji la Dodoma lapewa angalizo lishe bora kwa wananchi

RC Dodoma apongeza wafugaji kwa ushiriki wa Paredi ya Mifugo

Vijana waalikwa kushiriki Kongamano S/M Mbwanga