Kata ya Makole yabandika orodha ya wapiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

 






Ofisi ya Afisa Mtendaji Kata ya Makole imebandika orodha ya majina ya watu waliojiandikisha kwenye orodha ya wapiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba, 2024


Comments

Popular Posts

Agenda ya Lishe yaongeza Ari ya usomaji S/M Dodoma Makulu

Miaka minne ya Dkt. Samia, Kizota yanufaika mikopo ya asilimia 10

Halmashauri ya Jiji la Dodoma Kuhudumia Majimbo Mawili ya Uchaguzi