Maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe Mtaa wa Kawawa, Kata Matumbulu

Na. Mwandishi Wetu, MATUMBULU


Kata ya Matumbulu yaadhimisha Siku ya Afya na Lishe (SaLiKi) kwa mitaa ya Kawawa, Nyerere na Mwongozo.

Lengo ni kutoa elimu ya lishe na malezi ili kuepuka udumavu na magonjwa yasiyo ya kuambukizwa.


#Afya yako, Mtaji wako. Zingatia unachokula 

















Comments

Popular Posts

Osterbay Dodoma wajitokeza usafi wa mazingira

Usafi wa Mazingira Kipaumbele Kata ya Chamwino

Wananchi wa Kata ya Mtumba wanufaika na Mikopo ya asilimia 10 ya Halmashauri