Maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe Mtaa wa Kawawa, Kata Matumbulu

Na. Mwandishi Wetu, MATUMBULU


Kata ya Matumbulu yaadhimisha Siku ya Afya na Lishe (SaLiKi) kwa mitaa ya Kawawa, Nyerere na Mwongozo.

Lengo ni kutoa elimu ya lishe na malezi ili kuepuka udumavu na magonjwa yasiyo ya kuambukizwa.


#Afya yako, Mtaji wako. Zingatia unachokula 

















Comments

Popular Posts

Agenda ya Lishe yaongeza Ari ya usomaji S/M Dodoma Makulu

Miaka minne ya Dkt. Samia, Kizota yanufaika mikopo ya asilimia 10

Halmashauri ya Jiji la Dodoma Kuhudumia Majimbo Mawili ya Uchaguzi