Maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe Mtaa wa Kawawa, Kata Matumbulu

Na. Mwandishi Wetu, MATUMBULU


Kata ya Matumbulu yaadhimisha Siku ya Afya na Lishe (SaLiKi) kwa mitaa ya Kawawa, Nyerere na Mwongozo.

Lengo ni kutoa elimu ya lishe na malezi ili kuepuka udumavu na magonjwa yasiyo ya kuambukizwa.


#Afya yako, Mtaji wako. Zingatia unachokula 

















Comments

Popular Posts

Agenda ya Lishe yaongeza Ari ya usomaji S/M Dodoma Makulu

RC Senyamule azipongeza Club za Jogging Dodoma

Usafi wa Mazingira Kipaumbele Kata ya Chamwino