Jiji la Dodoma latembelea Studio za Dodoma FM kuelekea Siku ya Wanawake Duniani

 






Wataalam wa Maendeleo ya Jamii kutoka Jiji la Dodoma na wadau wakiwa katika Studio za Dodoma FM 98.4 kuelezea maandalizi ya Siku ya Wanawake Duniani chini ya Kaulimbiu isemayo 

"WANAWAKE NA WASICHANA 2025, TUIMARISHE HAKI, USAWA NA UWEZESHAJI"

Comments

Popular Posts

Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ni nyenzo ya utendaji kazi serikalini – Dkt. Biteko

JIJI LA DODOMA KUPELEKA MIL 50 ZAHANATI YA KIKUYU

WENZA WA VIONGOZI WASHAURIWA KUANZISHA BUSTANI ZA NYUMBANI