Jiji la Dodoma latembelea Studio za Dodoma FM kuelekea Siku ya Wanawake Duniani

 






Wataalam wa Maendeleo ya Jamii kutoka Jiji la Dodoma na wadau wakiwa katika Studio za Dodoma FM 98.4 kuelezea maandalizi ya Siku ya Wanawake Duniani chini ya Kaulimbiu isemayo 

"WANAWAKE NA WASICHANA 2025, TUIMARISHE HAKI, USAWA NA UWEZESHAJI"

Comments

Popular Posts

Jiji la Dodoma lapewa angalizo lishe bora kwa wananchi

RC Dodoma apongeza wafugaji kwa ushiriki wa Paredi ya Mifugo

Rais Samia: Tumieni kikamilifu Miundombinu, Teknolojia na mitaji iliyowekezwa katika Kilimo, Uvuvi na Mifugo