Jiji la Dodoma latembelea Studio za Dodoma FM kuelekea Siku ya Wanawake Duniani

 






Wataalam wa Maendeleo ya Jamii kutoka Jiji la Dodoma na wadau wakiwa katika Studio za Dodoma FM 98.4 kuelezea maandalizi ya Siku ya Wanawake Duniani chini ya Kaulimbiu isemayo 

"WANAWAKE NA WASICHANA 2025, TUIMARISHE HAKI, USAWA NA UWEZESHAJI"

Comments

Popular Posts

Mbunge Mavunde akabidhi Kompyuta kwa Kata 41 za Jiji la Dodoma

Bilioni 9.1 yanufaisha vikundi kwa Mwaka 2020-2023

Halmashauri ya Jiji la Dodoma yatoa Kongole kwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan