Ziara ya Kamati ya Fedha na Utawala katika Kituo cha Afya Zuzu

 


Kamati ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma (route 2) Naibu Meya, Fadhili Chibago ilifanya ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa ukamilishaji wa maabara tatu katika Shule ya Sekondari Zuzu iliyopo Kata ya Zuzu.

 

Mradi huo unagharama ya shilingi 85,000,000.00 fedha kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji.

































 

Kamati ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma (route 2) Naibu Meya, Fadhili Chibago ilifanya ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa ukamilishaji wa maabara tatu katika Shule ya Sekondari Zuzu iliyopo Kata ya Zuzu.

 

Mradi huo unagharama ya shilingi 85,000,000.00 fedha kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji.

 


Comments

Popular Posts

Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ni nyenzo ya utendaji kazi serikalini – Dkt. Biteko

JIJI LA DODOMA KUPELEKA MIL 50 ZAHANATI YA KIKUYU

WENZA WA VIONGOZI WASHAURIWA KUANZISHA BUSTANI ZA NYUMBANI