Ziara ya Kamati ya Fedha na Utawala katika Kituo cha Afya Zuzu

 


Kamati ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma (route 2) Naibu Meya, Fadhili Chibago ilifanya ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa ukamilishaji wa maabara tatu katika Shule ya Sekondari Zuzu iliyopo Kata ya Zuzu.

 

Mradi huo unagharama ya shilingi 85,000,000.00 fedha kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji.

































 

Kamati ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma (route 2) Naibu Meya, Fadhili Chibago ilifanya ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa ukamilishaji wa maabara tatu katika Shule ya Sekondari Zuzu iliyopo Kata ya Zuzu.

 

Mradi huo unagharama ya shilingi 85,000,000.00 fedha kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji.

 


Comments

Popular Posts

Barabara za Mtaa wa Mbwanga yafunguliwa, Diwani Kerenge aitaja kuwa chachu ya maendeleo

Dodoma Jiji yajiandaa Ngoma na Kwaya SHIMISEMITA, 2026

Kanda Namba Tatu yaimarisha ushirikiano na wamiliki wa vituo vya malezi ya watoto Dodoma