RAIS DKT.MWINYI ASHUHUDIA UTIAJI WA SAINI YA MKOPO WA FEDHA KWA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR KUTOKA KWA MABENKI YA NMB NA NBC

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akishuhudia utiaji wa Saini wa Fedha za Mkopo kutoka kwa Benki ya NBC kwa kushirikiana na Benki ya NMB, kwa upande wa Benki ya NBC akisaini Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) Ndg.Theobald Sabi  (kulia kwa Rais) na kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akisaini Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Dkt.Juma Malik Akili (kushoto kwa Rais) hafla hiyo ya utiaji wa saini iliyofanyika leo 14-7-2023 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar. (Picha na Ikulu)



BAADHI ya Viongozi wa Serikali na wa Benki ya NMB na NBC wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia wakati wa utiaji wa saini wa Fedha za Mkopo zinazotolewa kwa kushirikiana na benki hizo kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 14-7-2023.(Picha na Ikulu)

 

Comments

Popular Posts

Wananchi Makutupora wafunguka changamoto ya Maji, Umeme na Shule kwa Mkuu wa Mkoa

Waziri Mchengerwa apongeza usimamizi wa miradi jijini Dodoma

Mkataba ujenzi Uwanja wa Mpira wa Miguu wasainiwa Dodoma