MATUKIO KATIKA PICHA SIKU YA PILI YA KLINIKI YA ARDHI JIJI LA DODOMA

 

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Slaa akimsikiliza mwananchi 


Baadhi ya wananchi waliohudhuria Kliniki ya Ardhi

Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ya Makazi, Mhandisi Sanga (kushoto) akimkabidhi hati mwananchi


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa (kushoto) na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde wakifuatilia Kliniki ya Ardhi

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa (kushoto) na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde wakiteta jambo

Comments

Popular Posts

Diwani Gombo kuongoza Kamati ya Mipango Miji na Mazingira

Kamati ya Kudumu Uchumi, Elimu na Afya yapata Jembe!

Kamati za kudumu zatakiwa kuchangia kasi utekelezaji miradi ya maendeleo