MATUKIO KATIKA PICHA SIKU YA PILI YA KLINIKI YA ARDHI JIJI LA DODOMA

 

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Slaa akimsikiliza mwananchi 


Baadhi ya wananchi waliohudhuria Kliniki ya Ardhi

Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ya Makazi, Mhandisi Sanga (kushoto) akimkabidhi hati mwananchi


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa (kushoto) na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde wakifuatilia Kliniki ya Ardhi

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa (kushoto) na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde wakiteta jambo

Comments

Popular Posts

Osterbay Dodoma wajitokeza usafi wa mazingira

Usafi wa Mazingira Kipaumbele Kata ya Chamwino

Wananchi wa Kata ya Mtumba wanufaika na Mikopo ya asilimia 10 ya Halmashauri