Jiji la Dodoma washiriki maadhimisho ya Siku ya Ukimwi ngazi ya mkoa

 



Baadhi ya wataalam wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma muda mfupi kabla ya kuanza mwendo kuelekea Halmashauri ya Wilaya ya Chemba kushiriki maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yanayofanyika ngazi ya mkoa.


Kaulimbiu ni "CHAGUA NJIA SAHIHI, TOKOMEZA UKIMWI"












Comments

Popular Posts

Jiji la Dodoma lapewa angalizo lishe bora kwa wananchi

Rais Samia: Tumieni kikamilifu Miundombinu, Teknolojia na mitaji iliyowekezwa katika Kilimo, Uvuvi na Mifugo

IAA Tawi la Dodoma kuendelea kulea wataalam kwa vitendo