Jiji la Dodoma washiriki maadhimisho ya Siku ya Ukimwi ngazi ya mkoa

 



Baadhi ya wataalam wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma muda mfupi kabla ya kuanza mwendo kuelekea Halmashauri ya Wilaya ya Chemba kushiriki maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yanayofanyika ngazi ya mkoa.


Kaulimbiu ni "CHAGUA NJIA SAHIHI, TOKOMEZA UKIMWI"












Comments

Popular Posts

Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ni nyenzo ya utendaji kazi serikalini – Dkt. Biteko

JIJI LA DODOMA KUPELEKA MIL 50 ZAHANATI YA KIKUYU

WENZA WA VIONGOZI WASHAURIWA KUANZISHA BUSTANI ZA NYUMBANI