Watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wameshiriki kikamilifu katika ufunguzi rasmi wa Wiki ya Mei Mosi ambayo kitaifa inafanyikia mkoani Singida.
Watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wameshiriki
kikamilifu katika ufunguzi rasmi wa Wiki ya Mei Mosi ambayo kitaifa inafanyikia
mkoani Singida.
Aidha, ufunguzi huo umetanguliwa na maandamano salama ya
watumishi kutokea taasisi, wizara na mashirika mbalimbali ya kiserikali na
yasiyo yakiserikali.
Comments
Post a Comment