Watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wameshiriki kikamilifu katika ufunguzi rasmi wa Wiki ya Mei Mosi ambayo kitaifa inafanyikia mkoani Singida.


Watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wameshiriki kikamilifu katika ufunguzi rasmi wa Wiki ya Mei Mosi ambayo kitaifa inafanyikia mkoani Singida.

Aidha, ufunguzi huo umetanguliwa na maandamano salama ya watumishi kutokea taasisi, wizara na mashirika mbalimbali ya kiserikali na yasiyo yakiserikali.









Comments

Popular Posts

Prof. Mohamed ahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii na kuwapongeza wazazi

Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ni nyenzo ya utendaji kazi serikalini – Dkt. Biteko

Mamia wajitokeza kuulaki Mwenge wa Uhuru 2026 Kata ya Kikuyu Kusini