Watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wameshiriki kikamilifu katika ufunguzi rasmi wa Wiki ya Mei Mosi ambayo kitaifa inafanyikia mkoani Singida.


Watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wameshiriki kikamilifu katika ufunguzi rasmi wa Wiki ya Mei Mosi ambayo kitaifa inafanyikia mkoani Singida.

Aidha, ufunguzi huo umetanguliwa na maandamano salama ya watumishi kutokea taasisi, wizara na mashirika mbalimbali ya kiserikali na yasiyo yakiserikali.









Comments

Popular Posts

Agenda ya Lishe yaongeza Ari ya usomaji S/M Dodoma Makulu

Miaka minne ya Dkt. Samia, Kizota yanufaika mikopo ya asilimia 10

Halmashauri ya Jiji la Dodoma Kuhudumia Majimbo Mawili ya Uchaguzi