Timu ya Mpira wa Pete ya watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma yajipima na BOT
Timu ya Mpira wa Pete ya watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wakiwa katika mchezo wa kirafiki na timu ya watumishi wa Benki Kuu ya Tanzania, mchezo uliochezwa katika uwanja wa Chuo cha VETA mkoani Singida.
Mchezo huo ulichezwa ikiwa ni maandalizi ya ushiriki wa mashindano ya
michezo ya watumishi
kuelekea kilele cha Mei Mosi itakayofanyika kitaifa mkoani Singida.
Comments
Post a Comment