Timu ya Mpira wa Pete ya watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma yajipima na BOT

 






Timu ya Mpira wa Pete ya watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wakiwa katika mchezo wa kirafiki na timu ya watumishi wa Benki Kuu ya Tanzania, mchezo uliochezwa katika uwanja wa Chuo cha VETA mkoani Singida.

Mchezo huo ulichezwa ikiwa ni maandalizi ya ushiriki wa mashindano ya michezo ya watumishi kuelekea kilele cha Mei Mosi itakayofanyika kitaifa mkoani Singida.


Comments

Popular Posts

Jiji la Dodoma lapewa angalizo lishe bora kwa wananchi

RC Dodoma apongeza wafugaji kwa ushiriki wa Paredi ya Mifugo

Rais Samia: Tumieni kikamilifu Miundombinu, Teknolojia na mitaji iliyowekezwa katika Kilimo, Uvuvi na Mifugo