Timu ya Mpira wa Pete ya watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma yajipima na BOT

 






Timu ya Mpira wa Pete ya watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wakiwa katika mchezo wa kirafiki na timu ya watumishi wa Benki Kuu ya Tanzania, mchezo uliochezwa katika uwanja wa Chuo cha VETA mkoani Singida.

Mchezo huo ulichezwa ikiwa ni maandalizi ya ushiriki wa mashindano ya michezo ya watumishi kuelekea kilele cha Mei Mosi itakayofanyika kitaifa mkoani Singida.


Comments

Popular Posts

Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ni nyenzo ya utendaji kazi serikalini – Dkt. Biteko

JIJI LA DODOMA KUPELEKA MIL 50 ZAHANATI YA KIKUYU

WENZA WA VIONGOZI WASHAURIWA KUANZISHA BUSTANI ZA NYUMBANI